Sunday, June 10, 2012

Xavi v Andrea Pirlo: The ultimate head-to-head between the two best centre midfielders of their generation

As the modern game becomes more and more about power and pace, there are a couple of players who stand out as the greatest exponents of technical play in 21st century football


Not since March 2008 in an international friendly in Elche have they stepped onto the same field, but on Sunday evening one of those rare treats will be enjoyed by Europe’s football fans as two colossi of the modern game face off on the greatest stage. In terms of technical ability, there will be no greater show during Euro 2012 than Spain’s Group C clash with Italy thanks simply to the presence of Xavi and Andrea Pirlo.
In an era in which more and more leagues look to follow the trend of the fast and furious Premier League, the instinct to put one’s foot on the ball and assess all options can seem almost primeval at times. But the Barcelona midfielder and his Juventus counterpart remain the greatest exponents of passing football that the world has to offer, and their respective teams have reaped the rewards.
When Xavi has been at his metronomic best, Barca have been near-unstoppable. When people say he has won 22 trophies in his career, including a World Cup and European Championship, they could almost be listing personal achievements. It is damned difficult not to win games when he is at his pomp.
Modern greats | The two midfielders have stood out during an era of technical decline

He has never changed since being taught at La Masia to nurture the ball, guide it, treat it right, and never take it for granted. His ability to keep a picture of the entire pitch in his head no matter what is going on around him is phenomenal, almost reaching the extent that he knows what team-mates and opponents alike are going to do before they know it themselves. Such a supreme footballing brain has so rarely been seen before. Chess once had Garry Kasparov, but football is lucky ... Xavi is still playing.
Some have said of the likes of Xavi and Lionel Messi that it is easier to play in a team full of so many stars. While that sentiment may hold some truth, what cannot be debated is the fact that the Spaniard has regularly stood out in the world’s best club and international sides over the past half-decade. Barcelona and Spain have won everything. And Xavi has won much of it for them, with few of those 22 triumphs having come without his stamp all over them.
MOST PASSES COMPLETED IN 2011-12
Andrea Pirlo
Xavi
Xabi Alonso
Bruno Soriano
Yann M'Vila
Luka Modric
Ashley Williams
Yaya Toure
Philipp Lahm
Leon Britton
2778
2688
2476
2274
2272
2215
2213
2189
2145
2111
When Barca beat Manchester United in the 2011 Champions League final at Wembley, an English newspaper used a picture of a football for each pass completed by every player on the pitch as part of its analysis. While some players barely took up any ink at all, Xavi almost needed a separate supplement.
It is never as simple, of course, as saying that one player won a trophy single-handedly, but many have come close to claiming exactly that of Andrea Pirlo over the past few months. One thing that is for certain is that Juventus would not have won the Scudetto had the midfielder not left AC Milan for Vinovo last summer.
His impact has been sensational, transforming a side looking ill at ease defensively and lacking in direction on the ball into one of the most complete outfits seen anywhere in the world over the past season. His ability to dictate a game has made Juve a winning club once more, and Pirlo himself has returned to the kind of form which had many pointing to him as one of football’s best ever passing midfielders
When a team is based around Pirlo, trophies invariably follow. Just ask Juve, or Milan. He was also the heartbeat of the Italy side which shocked the world in 2006. There is no coincidence that teams with Pirlo in them have great defensive records. When he’s around, opponents automatically drop deeper, knowing any space given up is likely to be exploited. Hell, he even seems to find space when there is none. It goes without saying that when a team plays deeper, they are less able to ask questions themselves. That’s just part of the Pirlo effect.
The technical ability that both players exude dispels the myth that technical football is a luxury to be ignored – a starry-eyed notion that doesn’t belong in the real world. When Xavi or Pirlo is on the field, a game is always, but always, worth watching. Their passing stats alone leave the rest of football embarrassed.
But what makes them so good? What attributes are combined to form modern football’s two best footballers? Below we break down their abilities, giving them a rating out of five stars for each area.
MENTAL ATTRIBUTES (Marks out of 5)
XAVI   PIRLO
AGGRESSION
BIG-GAME PERFORMANCES
DECISION-MAKING
LEADERSHIP
TEAMWORK
WORKRATE

Mentally, there is little to separate the two. Neither is known for his aggression, but they both hit the heights pretty much everywhere else. Xavi perhaps just nips ahead on workrate, with Barcelona in particular demanding an energetic midfield which regenerates the ball across the board. Pirlo, on the other hand, has had the benefit of partners such as Gennaro Gattuso and Arturo Vidal alongside him to help share this responsibility.
TECHNICAL ATTRIBUTES (Marks out of 5)
XAVI   PIRLO
CREATIVITY
CROSSING
DRIBBLING
 LONG SHOTS
PASSING
SET PIECES/PENALTIES
SHOOTING
TECHNIQUE
WEAKER FOOT

Rarely will you see such numbers held by two players in the modern game when judging technical brilliance. In fact, they are virtually neck and neck in this department, both scoring full marks for creativity, passing and technique, with Pirlo also getting a full-house in terms of his dribbling ability. Apart from the weaker foot, for which both are rated three stars, the only other attribute in which either scores below four is the set-pieces and penalty taking of Xavi.
http://u.goal.com/135700/135791.jpg
       PHYSICAL ATTRIBUTES (Marks out of 5)
XAVI   PIRLO
FORM
HEADING
NATURAL FITNESS
PACE
STRENGTH
     
84 / 100 OVERALL 83 / 100
hAll of those problems can be attributed to his young age, as it is common for young defenders to get too anxious and failing to read plays as well as they should. If he can mature enough to understand the subtleties of his position and don't get caught up in discussions with opponents that distract him from the game, he is talented enough to become a great defender.ttp://u.goal.com/135700/135791.jpg

Pirlo was the best player in Serie A this term, and has been in the best form since the 2006 World Cup. Xavi, on the other hand, tired towards the end of the campaign despite his best ever scoring season for Barca. Despite this, the Catalan beats the Italian physically due to his energetic pressing game, whereas Pirlo often chooses to conserve his energy.
Our ratings suggest that Xavi just about edges out Pirlo, but will that be enough to see Spain past Italy? One thing you can guarantee is a barnstorming clash between two true footballing greats. We may see them on the same pitch again before you know it, with a potential knockout clash still a possibility in Euro 2012. And with Juventus back in the Champions League, it could happen at club level next season too. But why take the chance? This one is unmissable.
Follow Moenkutty on

 

NEYMAR AND MESSI

"Maybe Neymar is the best player in the world, but only if you say that Messi is from a different planet." Maradona. Agree?

Friday, June 8, 2012

FAHAMU ALAMA ZINAZOTUMIWA NA DEVILS WORSHIP

FAHAMU ALAMA ZINAZAOTUMIWA NA DEVILS WORSHIP


FREEMASONS       (WAJENZI HURU)        
A: UTANGULIZI

Ufunuo 13:1:
“Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru Ufu. 13:1

Majina ya makufuru (Name of blasphemy):
·         Kudai kusamehe dhambi ni kufuru. Marko 2:5-7
Kisanduku cha kitubio katika kanisa Katoliki kinafahamika ulimwenguni pote kama ni mahali watu huenda kwa ajili ya kusamehewa dhambi zao na makasisi. {Confessional box of the Catholic Church is known throughout the world as the place where people go to have their sins forgiven by priest. Bill Hughes. The Secret terrorists (2002:141)}

·         Kudai uungu ni kufuru. Yohana 10:33
Papa ana heshima kuu na kutukuka kiasi kwamba si mtu tu, lakini  ni kama Mungu na muwakilishi wa Mungu. {The pope is of so great dignity and so exalted that he is not a mere man, but as it were God and the Vicar of God. Lucius Ferraris, Prompta Bibliotheca Vol. 6 pp 438}
Ufunuo 13:2
“Na yule mnyama niliyemuona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi. “The dragon gave him his power, and his throne, and great authority.” Revelation 13:2 

Inaonekana wazi Yohana ameunganisha wanyama watatu wa Daniel 7:2-7 waliokuwa wanatoka baharini mmoja baada ya mwingine, kwa mnyama mmoja mfano wa Chui.
·         Kinywa chake kama kinywa cha simba”-Simba anatambulishwa kama alama ya nguvu ya wababeli.
·         “miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu”- dubu kama alama ya Waamedi na waajemi; miguu ya dubu ina nguvu sana ikiwa na makucha makali. Kama ilivyo, aweza kuitumia kutembelea, kusimama wima, kupandia au kukamatia chochote
·         alikuwa mfano wa chui
Chui kama alama ya Wamakedonia (Wagiriki) huwakilisha wepesi,ukali na ukatili (agility, ferocity and cruelty)

Kwa hiyo mnyama huyu kifupi, anatisha, anawakilisha Urumi/Upapa ambao hapa unabeba tabia za wanyama wale watatu, simba, dubu na chui akiwa wa kutisha, mwenye guvu sana, mwepesi, katili na mkali.

Fungu linasema “joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi
Joka ni nani?
“nyoka yule wa zamani, ibilisi na shetani “ ufu 12:9
“muuwaji tangu mwanzo …baba wa uwongo” Yoh 8:44
Joka akampa yule mnyama:-
·         Nguvu zake (power):
Hivyo upapa una nguvu za kishetani.
·         Kiti chake cha enzi (throne): (Yohana 12:31, 14:30,16:11 ...mkuu wa ulimwengu huu..)
kiti hapa kinamaanisha ukuu au mamlaka au utawala, na enzi ya Joka ni kipindi cha kuasi kwa mwanadamu hadi ukombozi wa mwanadamu; hivyo shetani anampa mnyama ukuu/utawala wake juu ya walimwengu. Upapa unepewa ukuu/utawala wa kishetani juu ya walimwengu!!!
·         Uwezo mkuu/mwingi (great authority):
Umakini unatakiwa kuelewa kuwa upapa una uwezo mwingi wa kishetani kuliko watu wengi wanavyodhani.

B: CHANZO CHA UJENZI HURU (Freemasonry) WA KISASA

Kulingana na nukuu mbalimbali inaelezwa waziwazi kuwa chanzo cha wajenzi huru (freemason) wa kisasa ni Jacques de Molai na Hermes, ambaye kifupi ni shetani (..\..\Pictures\Chanzo.png). Nukuu nyingi zitatoka katika kitabu cha Morals and Dogmas cha Albert Pike...\..\Pictures\Albert Pike.png  maana ni kitabu chao. Kitabu hiki cha Morals and Dogmas kinachukuliwa ni msingi mkuu wa theologia ya freemasonry na kwamba kitabu hiki hupewa freemasons wa ngazi za juu tu na inapotokea aliyenacho amekufa ni lazima kitabu hicho kurudishwa kwenge Lodge. Sirahisi kukipata.

Katika kitabu chake cha Morals and Dogmas, Albert Pike(..\..\Pictures\Lodge mwanzilishi.png anasema kuwa katika karne ya 17 ‘chief of doomed order au Grand master’ ambaye alikuwa templar, Jacque de Molai, aliweza kuanzisha na kutengeneza kile kilichokuja kuitwa Occult, hermetic, au Scottish masonry akiwa yuko jela, na kwamba wakati huo alianzisha Metropolitan Lodge nne katika miji ifuatayo
·         Naples kwa ajili ya Mashariki
·         Edinburg kwa ajili ya Magharibi
·         Stockholm kwa ajili ya Kaskazini
·         Paris kwa ajili ya kusini
Vifupi vya majina yake, JBM, huyu Jacque de Molai vinapatikana katika degree tatu za mwanzo ikiwa ni ishara na uhakikisho wa ndani wa  ujenzi huru wa kisasa (modern freemasonry) kuwa yeye ndiye mwanzilishi. A. Pike, Morals and Dogmas pg 820).

Ujenzi huru (freemasonry ) ulibeba na kuwa na misingi na kanuni kama za templar kwa kuwa na doctrine mbili, moja iliyojificha na kwa ajili ya watu maalum tena wachache,wakiitwa masters (esoteric) na nyingine  kwa ajili ya wote (exoteric). A.Pike,  Morals and Dogmas pg 817

Kwa haraka haraka huwezi kuona uhusiano wa mwanzo huu na uwepo wa mkono wa upapa lakini ukiwa makini utatambua kuwa Hermes, ambaye Petrovna Blavastsky katika kitabu chake Isis Unvailed, anaunganisha na kusema Hermes ni shetani. Na kama ni shetani nasi tumeelezwa waziwazi katika unabii na Yohana kuwa joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi “ yule mnyama; basi mkono wa upapa ulikuwa katika mwanzo huu wa Ujenzi huru (freemasonry)

Kunauthibitisho wa kutosha kuwa uwanzishwaji wa Ujenzi huru wa kisasa(Freemasonry) huu una mkono wa upapa na hususan kupitia Jesuit order kama ilivyo katika uwanzishwaji wa madhehebu mbalimbali, uislam, tasisi kubwa kubwa duniani, matukio makubwa karibu yote,  mkono wa mnyama haukosekani; kwa mfano, Jehova Witness, Kanisa la Yesu Kristo la siku za mwisho (Church of Jesus Christ of the latter days )..\..\Pictures\Mammon.png, Uislam, Umoja wa Mataifa na tasisi zake,vifo vya watu mashuhuri duniani, vita kuu vya dunia vyote, n.k. Bill Hughes amebainisha sana juu ya haya katika kitabu chake cha The Secret Terrorists.

John Daniel, yeye katika kitabu chake cha The Grand Designer Exposed, uk 302, anasema “Ukweli ni kwamba, Jesuits wa Rome wameukamilisha Ujenzi huru (Freemasonry) chombo chao kilichotukuka na chenye ufanisi katika kukamilisha malengo yao miongoni mwa waprotestant”..\..\Pictures\JD.png

C: MJENZI HURU NI NANI
Yesu anajisema kuwa yeye ndiye “kweli, njia na uzima” na kwamba hakuna atakayemuona Mungu pasipo Yeye (John 14:6). Aidha mwandishi wa kitabu cha Matendo, (Matendo 4:12), anabainisha wazi kuwa hakuna wokovu katika mwingine, isipokuwa YESU KRISTO. Kinyume kabisa na Biblia inavyosema inasemekana  Mjenzi huru wa kweli yeye hafungamani na aina fulani ya imani ( not creed-bound) ila kama mjenzi,  dini yake ni ya kijumla; majina kama Kristo, Buddha, au Mohammed si ya maana sana maana yeye huyu mjenzi huru hutambua tu nuru na wala si mbebaji. Yeye husali popote,iwe kanisani, hekaluni, msikitini au popote akijali ukweli wa kuelewa kwake umoja wa ukweli wa kiroho. (Manly Palmer Hall, The Lost Keys of Freemasonry, pg 65) (..\..\Pictures\Mason anavyokuwa.png)

Norman Vincent Peale katika jalada la Masonic Scottish Rite ..\..\Pictures\Norman.png, ansaema  Ujenzi huru hukaribisha  mtu mwenye imani yoyote  na dini yoyote kwenye malango yake na kitu muhimu ni watu wema kuamini katika Mbunifu mkuu na katika  kutokufa kwa roho. Kumbuka: “nyoka akamwambia mwanamke. Hakika hamtakufa” Mwanzo 3:4

Siri za wajenzi huru  hufichwa kwa wote isipokuwa kwa wale ambao ni, wenye akili sana, busara na wateule (its for adepts and sages or the elect),..\..\Pictures\Siri.png na hutumia maelezo ya udanganyifu na hutoa maana potofu ya alama zao ili kuwapotosha wale ambao wanastahili  kupotoshwa; hufichwa ukweli na kupelekwa mbali na ukweli. Wanasema, ukweli si kwa wale ambao hawana thamani au ambao hawawezi kuupokea. (M&D pg 104-105) ..\..\Pictures\Mislead.png Aidha sehemu za alama  zao huoneshwa kwa wanaoanza lakini kwa makusudi wanapotoshwa kwa kupewa tafsiri potofu. Haikusudiwi azielewe alama hizo ila inakusudiwa afikirie anazielewa. (M&D pg819). Biblia haina matabaka ya wafuasi, wafuasi wote tunaambiwa  na Yesu kwamba tutaijua kweli nayo hiyo kweli itatuweka huru Yohana 8:32 na kwamba hakuna huyu anatoka wapi na ni nani, wote sawa katika kujua kweli ya kuokolewa na kuokolewa kwenyewe  Warumi 10:12     

Mjenzi huru hufundishwa kuwa ukombozi na wokovu ni nguvu na wajibu wa mtu binafsi na kwamba binadamu ni mwokozi na mkombozi yeye mwenyewe. (Lynn Perkins. The Meaning of Masonry pg95)

Mifano ya watu mashuhuri ambao ni freemasons au walipata kuwa:
1.     Mwanzilishi wa Jehova Witness Charles Taze Russell
2.     Mwansilishi wa Kanisa la Kristo siku za mwisho Joseph Smith
3.     Mhubiri mkuu wa Merekani, Billy Graham
4.     Mchungaji maarufu Jesse Jackson
5.     Mchungaji na mwendeshaji wa kipindi kwenye TV  cha Hour of Power wa kanisa la Crystal Cathedral, Robert Schuller
1.     George W. Bush, Rais wa zamani wa USA
2.     Saddam Hussein, Rais wa zamani wa  Iraq
3.     Tony Blair, waziri mkuu wa zamani wa Uingereza
4.     Billy Clinton, rais wa zamani wa USA
5.     Hillary Clinton, Waziri wa mambo ya nje wa USA
6.     Yasser Arafat, Rais wa zamani wa taifa la wapalestina
7.     Shimon Peres, waziri mkuu wa Israel
8.     Yatzik Rabini, waziri mkuu wa Israel
9.     Michail Gorbatjov –Waziri mkuu wailiyokuwa  USSSR
Karibu nyanja zote utawakuta, iwe katika sayansi, biashara, sheria nk ..\..\Pictures\Mixed leaders.png

D: UMAKINI UNATAKIWA
·         Alama:
Bikari na kipima pembe mraba
Alama hii ni utambulisho maalum wa Mjenzi huru. Huwekwa kwenye majengo yao ya mikutano au tuite ibada,majengo au vitu vilivyo jengwa na wao, pia ya makaburi ya aliyekuwa mjenzi huru. Mifano:-
White house                             Statue of liberty
Pentagram: Nyota yenye pembe tano
Kwa wachawi, iliyopinduliwa ina kazi moja tu, kuita nguvu au uwezo kwa shetani ..\..\Pictures\Pentagram.png Pentagon, makao makuu ya jeshi la Marekani, USA yamejengwa na Wajenzi huru!!!
Jicho lionalo yote (All Seeing Eye):
Alama hii huonekana pengi lakini zaidi kwenye note ya Dola ya kimerikani








                  
          Mitsubishi, Voks wagon

          Kusalimiana kwa mkono (Handshake)

          Ishara ya vidole
         
Mianga mitatu (Three lights): ..\..\Pictures\3Lights.png
kutoka hapo huwasha mianga mingine kama ilivyofanyika wakati wa jumuisho ya dini mabalimbali duniani zilipokusanyika kule  Rome
         
·         Mafundisho ya mitego
Pantheism: kuamini kuwa Mungu hupatikana katika vitu na imani tofauti tofauti, sawa na kusema njia tofauti lakini kufikia lengo moja ..\..\Pictures\Pantheism1.png,  hii ni kinyume na maandiko matakatifu, wanadamu tunaokolewa kwa njia moja tu, imani ya Yesu (Matendo 4:12)
Roho Kutokufa: Imani hii kama ilivyoanzishwa na yule baba wa uongo pale Eden  imeingizwa katika imani mbalimbali na hata katika baadhi ya watu wa Mungu kwa ufundi mkuu na hawa hawa freemasons.Biblia iko wazi sana kuwa mtu hai ni muunganiko wa mavumbi na roho(pumzi ya Mungu) (Mwanzo 2:7)  na mtu huyu akifa hawezi tena akawepo maana muunganiko huo haupo tena (zaburi 104:29; Mhubiri 12:7) kila kitu kina rudi kilipotoka kama kilivyokuwa awali, mavumbi (kwa maana ya mwili) unarudi udongoni, na roho( pumzi ya uhai) inarudi kwa aliyeitoa, Mungu. PERIOD.

Uungu wa Yesu: Biblia inasema kwa unagaubaga Yesu ni Mungu (Yohana1:1,2 na 14) wakati freemasonry wanamweka Yesu katika hali ya mfanano na waanzilishi wa dini mbalimbali kama vile Buddha, Mohammed, Confucius, Tao  nk,kama tulivyoona hapo awali. Kufuru kubwa hii!!

Freemasons wanasema “ mtu mkamilifu ni Kristo na Kristo ni Mungu. Hii ni haki ya kuzaliwa na hitimisho la kila mwanadamu”..\..\Pictures\Kufuru Masons.png J.B. Buck Mystic Masonry pg 86 Linganisha na kanisa Katoliki linavyosema “mwana wa Mungu akawa mwadamu ili ikiwezekana tuwe Mungu” “Mwana wa pekee wa Mungu akitaka kutufanya tushiriki utukufu wake akachukua hali/utu yetu hivyo akafanyika mtu ili ikiwezekana watu wote tuwe miungu” “shangaeni na kushangilia: tumekuwa Kristo”..\..\Pictures\Kufuru RC.png Catechism of Catholic Church New York: Image books 1995 pg 129,228
         

Lucifer: kuinuliwa na kutukuzwa kwa shetani...\..\Pictures\Nyoka.png kunamengi katika hili huwezi kuamini!

E. HITIMISHO:
Ni wajibu wa mkristo wa kweli kufunua (expose) hila zote za muovu bila kuhukumu (non-judgmental) kama alivyofanya Yesu alipokuwa katika mwili na ikafanywa vivyo hivyo na wanafunzi wake wa awali japo karibu wote iliwagharimu maisha yao. Yote hii ni ili watu waijue kweli, na kweli hiyo iwaweke huru.

Joka alimpa mnyama kiti, uwezo na mamlaka yake naye mnyama hutumia njia nyingi katika kuwanywesha mvinyo wa uasherati wake walimwengu wasiokuwa makini na neno la Mungu, Yehovah.

Tumegusia nyanja moja tu, freemasonry; Shetani kupitia Kanisa Katoliki na hususan Jesuit,  anayotumia kuudanganya ulimwengu, TUWEMACHO. Shetani hana jipya ila ni kuiba, kuua na kuharibu! Wokovu wa mwanadamu umo katika Yesu Kristo peke yake, maana yeye alikuja kuokoa kilichopotea Mathayo 18:11, Luka 19:10  

Bila Yesu katika ulimwengu wa sasa usalama wako na wangu ni mdogo sana nirahisi kunaswa katika mitego ya shetani. Jiahidi mwenyewe kumpa YESU maisha yako.