Thursday, June 28, 2012

BREAKING NEWS; MADAKTARI 72 WATIMULIWA KAZI MBEYA

BREAKING NEWS;

 MADAKTARI 72 WATIMULIWA KAZI MBEYA

 Mwenyekiti wa Bodi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Norman Sigara Aikzungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu kufukuzwa kazi kwa madaktari hao


Mkurugenzi wa wa hospitali ya rufaa Mbeya Dr  E. Sankey akimsikiliza kwa makini kaimu mkuu wa mkoa Mbeya


BODI ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya, imewasimamisha kazi madaktari 72 kwa kosa la kutoingia kazini kwa siku tano jambo ambalo ni kinyume cha makubaliano ya mkataba.
Imeelezwa kuwa madaktari hao ambao 54 ni wale wa mafunzo ambao waliingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Rufaa na madaktari 18 ni wale walioajiriwa na Wizara ya afya.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Bodi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Norman Sigara, alisema kitendo cha madaktari kutoripoti kazini kwa siku tano ni ukiukwaji wa kanuni za utumisha wa umma toleo la 2009 kifungu namba F.16-F17 na F. 27.
"Hivyo kupitia kanuni hiyo madaktari hao wamesimamishwa kazi na kurudishwa kwa mwajiri wao ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa hatua zaidi za kinidhamu,"alisema Sigara.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo wa Bodi, imeelezwa kuwa siku ya tarehe 23/6/2012 wafanyakazi 15 waliokuwa zamu(Intern Doctors 12 na Registrars3) hawakufika kazini na tarehe 24/6/2012 wafanyakazi 19(Intern doctors 15 na Registrars 4) hawakufika kazini.
Alisema, kuanzia tarehe 25/6/2012 hadi leo imethibitika kuwa Interns doctor 54 na Registrars 18 hawakufika kazini hadi leo tarehe 28/6/2012 ambapo tarehe 25/6/2012 bodi ya hospitali ilifanya kikao cha dharura kujadili hali ya utendaji kazi na utoaji huduma hospitalini na kutoa uamuzi.
Sigara, aliyataja maamuzi hayo kuwa ni Mwenyekiti wa Bodi akutane na madaktari ambao hawakufika kazini ili awasikilize sababu za kutofika na kujadili namna ya kumaliza matatizo hayo jambo ambalo madaktari hao waligoma.
Alisema, baada ya madaktari hao kukaidi ombi hilo, Bodi ya hospitali ili waandikia barua za kujieleza kwanini wasichukuliwe hatua za kinidhamu kwa kuvunja mkataba walioingia na hospitali na pia kukiuka kanuni za kudumu za utumishi wa umma nalo walilikaidi

"Iwapo madaktari ambao hawakuripoti au kueleza sababu za kuridhisha ifikapo tarehe 28/6/2012. Kwa kuzingatia kanuni za utumishi wa Umma, madaktari hao watasimamishwa kazi na kurudishwa kwa mwajiri wao ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,"alisema.
Aidha, alisema kuwa kwa ujumala madaktari hao waligomea barua zote mbili yaani ya kuitwa kwenye kikao pamoja na ile ya kuwataka kujieleza hivyo Bodi imechukua hatua za kisheria za kuwafukuza kazi.
Hata hivyo Mwenyekiti huyo wa bodi, alisema kuwa tayari hospitali ya Rufaa kwa ushirikiano wa Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, madaktari watano wamepatikana ili kusaidia huduma kwa hospitali hiyo.

Monday, June 25, 2012

Udhaifu Wa JK na tafsiri ya Mjengwa

Udhaifu Wa JK; Tafsiri Yangu





“ OUR President is important; but, he is not Tanzania. All of our people organaized together are Tanzania”- (Julius Nyerere, Julai  29, 1985)

Ndugu zangu,
Watanzania wengi hatuna mazoea ya kusoma, hata makala za magazetini ukiachilia mbali vitabu vya taarifa na hadithi. Ndio, tu wavivu wa kusoma.

Kigong’onda ni aina ya ndege.  Ndege huyu  ana mdomo mrefu na anapenda sana kugongagonga mti kwa mdomo wake. Ndivyo anavyojipatia ridhiki yake. 

Lakini, kwa hulka yake ya kugong’onda kila kilicho mbele yake, basi, hata ukimwekea mti wa chuma porini, kigong’onda atahangaika nao mpaka damu zimtoke mdomoni. Ni hulka yake.  Kiongozi hapaswi kuwa kama kigong’onda.

Kuna hoja mezani juu ya udhaifu wa JK, imetokea Bungeni.  Yumkini, kama mwanadamu, JK ana mapungufu na udhaifu wake, nani asiye na mapungufu na udhaifu? Lakini, tukimzungumzia JK kama taasisi ya ’ Urais’, namwona Rais anayejipambanua na waliomtangulia. Ni  kwa kujitahidi kufanya yale yalo nafuu na yenye manufaa kwa nchi yetu  kwenye mfumo dhaifu uliopo.  

 Wanadamu tunapaswa kuhukumu dhamira ya mtu na si matokeo. Bado namwona JK kama kiongozi mwenye dhamira njema kwa nchi yetu. Nauona ujasiri ndani ya JK. Ni ujasiri wa kufanya yale ambayo, hata ndani ya chama chake hayakuwezekana kufanywa na Mwenyekiti wa chama huko nyuma. Na bila shaka, kuna wahafidhina ndani ya chama chake wanaomwona JK kuwa ni dhaifu kwa mantiki hiyo. Kuna wanaoamini, ndani ya CCM, kuwa Rais wa chama tawala anayekaa na kuongea na wapinzani Ikulu ni Rais dhaifu!

Na hata haya tunayoyashuhudia sasa, yumkini ni matokeo ya dhamira njema ya JK. Naamini, kwa tunavyoenenda sasa, Tanzania atakayoiacha  JK haiwezi tena kurudi kuwa kama ilivyokuwa kwa Julius Nyerere, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa. JK amepanua uhuru wa Watanzania kuchangia fikra zao bila hofu. Siku zote, hofu haijengi nchi.

Maana, tumefika hapa kutokana na mfumo dhaifu unaozaa Serikali dhaifu, unaozaa Bunge dhaifu na unaopelekea pia kuzaa vyama dhaifu vya siasa ikiwamo chama tawala. Na chimbuko lake ni Katiba ya Nchi iliyo DHAIFU. Ndio, tatizo la nchi yetu ni tatizo la kimfumo.

Ni tatizo lililoasisiwa tangu Awamu ya kwanza ya Urais.  Angalia, Katiba yetu inampa nguvu nyingi sana Rais. Tuna bahati tu hajatokea Rais anayeamua kuzitumia ipasavyo nguvu hizo.

Nimeona katuni ya ndugu yangu Masoud Kipanya kwenye gazeti la Mwananchi la jana, Juni 23, 2012.  Kipanya alionyesha foleni ndefu ya wapiga kura Watanzania walio tayari kumpigia kura Rais Dikteta.   

Niliogopeshwa na michango ya  maoni ya Watanzania juu ya katuni ile. Wengi walionekana kuikubali hali hiyo. Kuwa kwao kwa hali ilivyo sasa ni heri kutawaliwa na dikteta kuliko Rais dhaifu!

Inasikitisha na inaogopesha kuona kuwa tumefika hapa. Naamini mimi na wengine wengi tuliokulia enzi za chama kimoja  na Rais mmoja ambaye ni kila kitu, tusingependa kurudi huko tulikotoka. Nikayasoma jukwaa moja maoni ya Mtanzania Ludovic Mwijage aliyejaribu kuonyesha ubaya wa udikteta. Hapo chini nimeweka kitabu cha Mwijage kilicho kwenye maktaba yangu. Kwa mimi niliyesoma kitabu chake, ningeshangaa kama Mwijage angeunga mkono hoja ya kumwona JK dhaifu na kutamani Rais Dikteta.

Ukweli, sisi wa ’ Kizazi Cha Azimio’ tuliwaona wazazi wetu wakiishi katika hali ya hofu na mashaka. Waliishia kunong’ona tu pale walipotaka kuishutumu Serikali na Rais aliye madarakani.

Mjumbe wa nyumba kumi alikuwa ni mtu aliyeogopewa sana.  Huyu  alikuwa ni wakala wa Chama tawala na Serikali. Moja ya majukumu yake ilikuwa ni kuwatambua, katika nyumba zake kumi, wale wote waliokuwa na mitazamo tofauti na ya Serikali na Mkuu wa Nchi. Ni wale walioitwa ’ Wapinga Maendeleo!’. Kuna waliosekwa rumande, kuna waliofungwa magerezani.

Enzi zile viongozi watu wazima walisimama majukwaani na kusema; ” We have a One Party Democracy!” Katika dunia hii hakuna ‘ One Party Democracy’ bali ‘ One Party Dictatorship’. Hata kwenye nyumba mwanamme ukishaoa huwezi tena kutamka juu ya ‘ One Man Family!’- Na watoto wakiingia kwenye familia , nao pia wanatakiwa wawe na sauti.

Afrika Rais anategemea sana wasaidizi wake katika kuifanya kazi yake. Hivyo, mfumo dhaifu huzaa wasaidizi dhaifu pia. Mfano, pale Bungeni hakukuwa na haja yoyote ya mbunge kutolewa nje kwa kutamka ‘ JK ni Dhaifu’.   

Badala yake, ilikuwa fursa kwa wasaidizi wa JK kujenga hoja za kubomoa hoja za mbunge huyo.
Kumtoa Mbunge nje kumemsaidia zaidi kuwasilisha ujumbe wake na hata ukaaminiwa na wengi. Maana, swali la hata wasiofutilia vipindi vya Bunge ni ‘ Kwani huyo Mnyika amesema nini?” Ni yale yale ya Zitto Kabwe kutolewa Bungeni kwa hoja ya Buzwagi. Nakumbuka kumsikia Mzee Malecela akisimama Bungeni na kutamka, kuwa dawa ya kidole chenye kansa ni kukikata!

Malecela na wengine katika CCM walisaidia, kwa kasi ya ajabu, kumtangaza na kumpa umaarufu Zitto Kabwe. Maana, wengi mitaani walitaka kukiona kidole hicho chenye kansa kinachokisumbua chama tawala na kikongwe hapa nchini, CCM.  

 Na mpaka hii leo, CCM wanarudia makosa yale yale ya jana. Na kwanini wanarudia? Ni kwa baadhi ya watendaji, kuingiwa hofu na wimbi hili la mabadiliko, hivyo kutojiamini na hata kufanya yale wanayodhani yatamfurahisha aliyewateua, kumbe, wanamharibia, na wanazidi kukipaka matope chapa chao.
Naam, tunaweza kuondokana na mfumo dhaifu kupitia Katiba mpya ijayo. Inawezekana.
Maggid Mjengwa,
Iringa.
0788 111 765


Italy defeat England on penalties in UEFA Euro 2012 quarter-final

Italy beat England in tense quarter-final to set up last-four clash against Germany

  • Italy's players celebrate after claiming a dramatic penalty shoot-out victory over England
  • Ashley Cole watches as his penalty is saved by Italy goalkeeper Gianluigi Buffon

England 0-0 Italy AET
(Italy win 4-2 on penalties)

England were denied a place in the UEFA Euro 2012 semi-finals as they suffered a heartbreaking defeat by Italy on penalties.
The Italians had controlled large parts of the match in Kiev, with midfielder Andrea Pirlo in superb form and Manchester City striker Mario Balotelli a constant threat.
But England's stubborn defending meant Italy were unable to break through as the match was taken to extra-time and then penalties.
Italy hit the woodwork twice, with Daniele de Rossi’s outrageous sliced shot coming off the inside of Joe Hart’s post in the very early stages and Alessandro Diamanti's miss-hit cross also hitting the post in the first-half of injury time.
England did have a spell in the first half of normal time when they were able to threaten but Liverpool defender Glen Johnson had his lifted shot saved while Manchester United forward Wayne Rooney’s diving header glanced over.

Di Rossi had a fine chance at the beginning of the second half but he scuffed wide from close range and Riccardo Montolivo then fired over the bar after pouncing on a loose ball when Hart parried Balotelli’s shot.
England were heroic in defence and they were forced to hang on again in extra-time as Italy continued to threaten Hart’s goal.
English hearts were firmly in mouths right at the end of the second period of extra-time when Antonio Nocerino headed into the roof of the net only for the goal to be correctly ruled out for offside.
And so to the penalty shoot-outs, and after Balotelli and Steven Gerrard scored with the opening two spot kicks, Montolivo missed his kick by dragging the ball wide.
Rooney’s penalty put England in control but after Pirlo scored with an audacious chip down the centre of the goal, Ashley Young and Ashley Cole both missed as successful penalties from Nocerino and Diamanti sparked Italian celebrations.

Italy now play Germany in the semi-finals in Warsaw on Thursday.


Monday, June 18, 2012

Arsenal finally admit they will sell Robin van Persie

Dutch auction: Arsenal finally admit they will sell Robin van Persie... for £30 million

Theo Walcott could follow him out the door as contract negotiations stall
Robin van Persie: are Arsenal fans about to see the back of him?
Robin van Persie: are Arsenal fans about to see the back of him?

2011 The Arsenal Football Club Plc

Arsenal have slapped a £30 million price tag on striker Robin van Persie.
The Dutch striker has so far failed to agree an extension to his current deal which has just one season left.
The club are willing to make Van Persie the highest earner in the club’s history with an offer close to £130,000-a-week.
But Gunners chairman Peter Hill-Wood ­admitted that if ­another club offers Van Persie £250,000 a week, then ­Arsenal would not be able to compete.
Robin van Persie scores for Holland
Dutch master: Robin van Persie scores for Holland against Germany at Euro 2012

Getty
 Arsenal have not given up hope of keeping their captain, but if he insists on leaving the price will be high.
Van Persie is being tracked by Manchester City and ­Juventus.
Paris St Germain, funder by Qatari owners, are also keeping tabs on developments.
Russian League big spenders Anzhi, managed by Guus Hiddink, would also top any contract offer to Van Persie. But the 28 year-old striker does not want to be based in Moscow. This ­summer’s debate will revolve around Van Persie’s willingness to commit his future to Arsenal.
If he can’t do that the London club will take any £30m offer – even one from a rival Premier League club like champions City.
Arsene Wenger is happy for van Persie to run down his contract  

If no-one matches that valuation, then ­manager Arsene Wenger is happy to keep Van Persie at The Emirates and allow his contract to run down in June 2013.
That would make the player a free agent in a year’s time but he would also be approaching his 30th birthday and his market value will have dipped and he would be ­unlikely to command a salary in excess of Arsenal’s current offer.
Arsenal will also have bolstered their strike force by the start of the season.
Lukas Podoloski has already joined from Cologne for £10m and a deal for a similar sum has been agreed with new French champions Montpellier for striker ­Olivier Giroud. If Van Persie stays at the club to see out his contract Giroud will have a full season to adapt to the Premier League.
Theo Walcott scores for England's second
Theo Walcott: could be on his way as well

Getty
 But there is also a question mark about the ­future of Theo Walcott. The England winger also has one-year left on his contract but talks about a new deal have reached deadlock.
The two parties are still some distance from agreement and Walcott could be on the move in the summer.
Read our round-up of all today's transfer news: Kop want Borini and Bedimo, Real go for City's Silva, Dzagoev wants to be a Gunner: All the transfer gossip from Sunday's papers


Lisa Jensen kuiwakilisha Tanzania katika Miss World 2012 - Mdimu's Blog

Lisa Jensen kuiwakilisha Tanzania katika Miss World 2012 - Mdimu's Blog

WEMA SEPETU, ...kafanyaje?

WEMA SEPETU, ...kafanyaje? 

                Na Zee la Nyeti

           Lile swali ambalo wengi wamenitumia wakiulizia Wema kafanya nini mbona anatangazwa ana usiku wake? Una nini? Jibu lake hili hapa.
MSHINDI wa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu, anatarajia kumdondosha nyota wa filamu wa Nigeria, Omotola Jalade hapa nchini.
Wema Sepetu, ambaye kwa sasa anatamba kwenye vyombo mbali mbali vya habari kuhusiana na kupenda kuweka wazi mambo yake binafsi, anatarajia kumleta Omotola kwa ajili ya kusindikiza uzinduzi wa filamu yake mpya iitwayo Super Star.

Filamu hiyo ya Super Star, inazungumzia maisha ya Wema kuanzia utotoni kushiriki kwake Miss Dar Indian Ocean, Miss Kinondoni, Miss Tanzania hadi kuingia kwenye filamu.
Kwenye filamu hiyo Wema ameshirikiana na wasanii mbalimbali akiwemo mwimbaji wa Machozi Band, aitwaye Mwinyi.
Omotola, ambaye atatua Tanzania wiki hii, alianza kutamba kwenye tasnia hiyo baada ya kutoka na filamu iitwayo Iva mwaka 1993.
Hadi sasa nyota huyo amecheza jumla ya filamu 52, zikiwemo, Ties That Bind (2011), A Private Storm
Ije (2010), My Last Ambition (2009), Beyonce & Rihanna (2008), Temple of Justice (2008), Tomorrow Must Wait (2008) na nyingine nyingi

Wednesday, June 13, 2012

BIFU YA AY NA PRODUCER WAKE HERMY B YAFIKIA HAPA




 AY
 HERMY B

"Ningependa kujibu shutuma zilizoandikwa  kuhusu uhusiano wangu na swahiba wangu A.Y. Ningependa ifahamike kwamba mimi na A.Y  kwa kipindi cha miaka 4 tumefanya kazi za muziki kwa karibu pamoja na kazi nyingine za biashara.  Ni kawaida na inaeleweka kwamba mahali popote watu wanapofanya kazi pamoja kugongana katika mawazo au lugha ni jambo la kawaida, na ndio changamoto zenyewe. Si jambo la ajabu kama mimi na swahiba wangu A.Y. kupishana katika kazi.


Hivyo  nimeona ni lazima nijibu kwani nikiiacha bila kujibu madhara yake yatakuwa  mabaya.  Kwanza napenda ieleweke sijawahi kuwa msimamizi wa kazi za A.Y zaidi ya kuwa producer wa nyimbo zake tu. Kipindi chote hicho nimekua natumia utaalamu wangu kwenye kutengeneza tu muziki wake. Maswala mengine yoooote amekuwa akifanya mwenyewe tena bila msaidizi.



Pia bila A.Y na MwanaFA kunipa nafasi kutengeneza muziki wao nisingekua hapa nilipo. Nadhani inaeleweka mahali popote duniani kwamba kipaji ili kifahamike kwa watu lazima kipitie kwa mtu fulani au mkondo fulani. Si ajabu kama kipaji changu cha kuproduce muziki kimeweza kufahamika kwa kupitia kwa A.Y. Mimi sio mungu labda ningekua sehemu nyingine na mafanikio makubwa zaidi au machache zaidi,lakini nachojua rafiki yangu amenipa ngazi ya kufika huku nilipo sasa, sijawahi kuficha hilo na hata wao wenyewe wanajua na bado nashukuru kwa hilo.



A.Y hajawahi kuingia mkataba wa aina yoyote na kampuni ya BHits Music Group Limited wala mimi binafsi uliombana kufanya kazi na mimi na sio mtu mwingine yoyote. Nimetengeneza nyimbo zisizopungua 30 za A.Y, kwa ajili ya albamu yake katika kipindi cha mwaka 2008 mpaka 2011. Baadhi ya nyimbo hizo zimeshatoka na nyingine bado zipo zikisubiri uhitaji wake. Wote tulikua na lengo la kutengeneza muziki kwa wingi na kuuza kwenye soko zuri la muziki ili tufaidike kwa pamoja.



Muda wote muziki ulikua unatolewa na unafanya vizuri kwa radio na T.V na show zilikua zinafanyika na zote nilikua nazijua iwe ndani ya nchi au nje ya nchi hii  hata malipo nilikua nafahamu ni kiasi gani na sijawahi kufichwa na A.Y kuhusu hilo.



Kutoelewana  kwetu kibiashara ilikuwa mwezi February mwaka huu yakihusu malipo ya album hiyo. Baada ya hapo niliamua kufunga mdomo wangu na nisingesema chochote kwani haya yalikua yananihusu mimi na rafiki yangu tu. Nimeamua kuongea sasa kwani nahisi nimeshambuliwa kwa mara ya pili kuhusu makubaliano haya na mara ya kwanza niliamua kukaa kimya.


Kwanza nataka mfahamu Katika kipindi cha kutokea 2008 mpaka leo hii (miaka 4) kwa matumizi ya nyimbo hizo, ambazo amekwishafanyia show nje na ndani ya nchi na nyingine kumpatia nominations na tuzo tofauti, nilichowahi kulipwa hakitaweza kuzidi shilingi milioni tatu kwa malipo ya awamu tofauti kwa miaka minne.


Kilichotokea ni kwamba, mwaka huu mwanzoni kabisa, A.Y aliwasiliana na mimi akiwa na mipango ya kuzindua albamu yake. Na alitaka kuzinunua zile nyimbo kutoka kwangu akiwa na mpango mpya wa kuiuza albamu kwa mpango wake binafsi pasi na mimi. Nilishindwa kuelewa nini anakifanya hasa alipoomba alipie wimbo mmoja mmoja tena kwa bei ya msanii wa kawaida anaehangaika kutoka.

Niliamua kukubali kwamba ameamua kufanya hivyo na sina nguvu ya kumzuia basi nikajaribu kupata malipo halisi ya kazi yangu. Ubishi wangu ulikua kwamba msanii mdogo hawezi kulipa bei sawa ya kurekodi na msanii mkubwa, kwani hata malipo ya msanii mkubwa na mdogo baada ya kazi yoyote iwe ya matangazo ama show huwa hayafanani. Bei niliyotaja haikua millioni kumi, ni uongo mtupu na kwa wimbo mmoja niliomba nilipwe millioni 2.
Akakubali kwa bei hiyo ya Millioni 2 japo nilihisi hakuridhika kabisa. Nilimtumia mkataba wa makubaliano yetu ambayo kweli baadae aliona kwamba bei hiyo kwake ni kubwa sana hivyo hatukusaini makubaliano. Tulibadilishana meseji kwa simu kwa muda mrefu sana na niliona biashara hii itavunja urafiki wetu.
Nilifikiria sana kwamba nyimbo hizi nimekaa nazo toka 2008 bila kuingiza chochote na maisha yanaenda pia. Sikuona sababu ya kuharibu urafiki wetu wa muda mrefu kwa mabishano haya. Kwa Ujumbe wa simu nilimueleza A.Y anakaribishwa aje achukue nyimbo zoooooote anazohitaji kwa albamu yake BURE (bila malipo).Lakini nilimuomba anisamehe sitomix zile ambazo bado hazijamixiwa, ila ampatie producer mwingine amfanyie hiyo kazi.
Mpaka  hii makala A.Y hajaja kuchukua hizo nyimbo na ndio naelewa kua hayupo na BHits tena na wala taarifa zote hizo mbili hajawahi kunipatia. Huu ndio ukweli halisi.
Swala la mimi kuwa na wivu na kinyongo na mafanikio ya A.Y ni uongo na nashangaa umetoka wapi . Kama kulipwa kidogo, huku nikiona A.Y anaingiza fedha nyingi kwa muziki tunaotengeneza pamoja basi ningekua nimegombana nae toka mwaka 2009 labda
Narudia kwamba nilikua najua kila show yake inapofanywa na sikuwahi kujisikia vibaya. Nataka utambue pia nilikua na akili timamu wakati nafanya kazi na A.Y na muda wowote nilikua na uwezo wa kubadili mawazo na kutaka tuandike makubaliano kwa karatasi ila sikufanya hivyo na wala sijutii chochote kwa utaratibu wetu wa hatari wa kufanya kazi bila mkataba wa maandishi na ndio maana nipo radhi hata sasa kumpatia nyimbo hizo bure kama nlivomwambia hapo mwanzo 


Nina meseji zote na email za mazungumzo yetu ambazo nilihifadhi nikijua ipo siku nitaonekana mimi ndie mkorofi, hivyo nachokisema nina hakika nacho asilimia 100

Picha nyingine mbaya ulioichora ni kujaribu kuonyesha kuna kutopendana kati ya maproducer. Mimi Master Jay na Marco Chali ni marafiki wazuri tu na mpaka leo hii nikiwa na shida na nikamhitaji Marco Chali au Master Jay nitampigia simu bila aibu kwani hakuna ugomvi kati yetu. A.Y, Master Jay na Marco Chali pia ni marafiki wa siku nyingi na katika kipindi cha miaka minne akiwa Bhits kwa hiari yake na sio mkataba, A.Y amekuwa akienda MJ records anapojiskia na mara kadhaa mimi nimeenda na A.Y na mara kadhaa nimeenda peke yangu tena kwa ajili ya shughuli zangu binafsi.
Pia ufahamu katika kipindi hicho A.Y alikua akitumia muda mwingi MJ Records kuliko Bhits na hiyo yote ilikua ni mipango yake binafsi. A.Y hajawahi kuzuiwa kufanya kazi na mtu mwingine kwani ni msanii huru.
Ndugu yangu mimi ni mtu mpole nisiye na ugomvi na mtu hapa mjini. Nasikitika sana kwa jinsi kwenye makala yako ulivyojitahidi kuonyesha kwamba mimi na swahiba wangu tumejenga uadui. 

Midnight Switch - A Boyfriend's Worst Nightmare

Sunday, June 10, 2012

Xavi v Andrea Pirlo: The ultimate head-to-head between the two best centre midfielders of their generation

As the modern game becomes more and more about power and pace, there are a couple of players who stand out as the greatest exponents of technical play in 21st century football


Not since March 2008 in an international friendly in Elche have they stepped onto the same field, but on Sunday evening one of those rare treats will be enjoyed by Europe’s football fans as two colossi of the modern game face off on the greatest stage. In terms of technical ability, there will be no greater show during Euro 2012 than Spain’s Group C clash with Italy thanks simply to the presence of Xavi and Andrea Pirlo.
In an era in which more and more leagues look to follow the trend of the fast and furious Premier League, the instinct to put one’s foot on the ball and assess all options can seem almost primeval at times. But the Barcelona midfielder and his Juventus counterpart remain the greatest exponents of passing football that the world has to offer, and their respective teams have reaped the rewards.
When Xavi has been at his metronomic best, Barca have been near-unstoppable. When people say he has won 22 trophies in his career, including a World Cup and European Championship, they could almost be listing personal achievements. It is damned difficult not to win games when he is at his pomp.
Modern greats | The two midfielders have stood out during an era of technical decline

He has never changed since being taught at La Masia to nurture the ball, guide it, treat it right, and never take it for granted. His ability to keep a picture of the entire pitch in his head no matter what is going on around him is phenomenal, almost reaching the extent that he knows what team-mates and opponents alike are going to do before they know it themselves. Such a supreme footballing brain has so rarely been seen before. Chess once had Garry Kasparov, but football is lucky ... Xavi is still playing.
Some have said of the likes of Xavi and Lionel Messi that it is easier to play in a team full of so many stars. While that sentiment may hold some truth, what cannot be debated is the fact that the Spaniard has regularly stood out in the world’s best club and international sides over the past half-decade. Barcelona and Spain have won everything. And Xavi has won much of it for them, with few of those 22 triumphs having come without his stamp all over them.
MOST PASSES COMPLETED IN 2011-12
Andrea Pirlo
Xavi
Xabi Alonso
Bruno Soriano
Yann M'Vila
Luka Modric
Ashley Williams
Yaya Toure
Philipp Lahm
Leon Britton
2778
2688
2476
2274
2272
2215
2213
2189
2145
2111
When Barca beat Manchester United in the 2011 Champions League final at Wembley, an English newspaper used a picture of a football for each pass completed by every player on the pitch as part of its analysis. While some players barely took up any ink at all, Xavi almost needed a separate supplement.
It is never as simple, of course, as saying that one player won a trophy single-handedly, but many have come close to claiming exactly that of Andrea Pirlo over the past few months. One thing that is for certain is that Juventus would not have won the Scudetto had the midfielder not left AC Milan for Vinovo last summer.
His impact has been sensational, transforming a side looking ill at ease defensively and lacking in direction on the ball into one of the most complete outfits seen anywhere in the world over the past season. His ability to dictate a game has made Juve a winning club once more, and Pirlo himself has returned to the kind of form which had many pointing to him as one of football’s best ever passing midfielders
When a team is based around Pirlo, trophies invariably follow. Just ask Juve, or Milan. He was also the heartbeat of the Italy side which shocked the world in 2006. There is no coincidence that teams with Pirlo in them have great defensive records. When he’s around, opponents automatically drop deeper, knowing any space given up is likely to be exploited. Hell, he even seems to find space when there is none. It goes without saying that when a team plays deeper, they are less able to ask questions themselves. That’s just part of the Pirlo effect.
The technical ability that both players exude dispels the myth that technical football is a luxury to be ignored – a starry-eyed notion that doesn’t belong in the real world. When Xavi or Pirlo is on the field, a game is always, but always, worth watching. Their passing stats alone leave the rest of football embarrassed.
But what makes them so good? What attributes are combined to form modern football’s two best footballers? Below we break down their abilities, giving them a rating out of five stars for each area.
MENTAL ATTRIBUTES (Marks out of 5)
XAVI   PIRLO
AGGRESSION
BIG-GAME PERFORMANCES
DECISION-MAKING
LEADERSHIP
TEAMWORK
WORKRATE

Mentally, there is little to separate the two. Neither is known for his aggression, but they both hit the heights pretty much everywhere else. Xavi perhaps just nips ahead on workrate, with Barcelona in particular demanding an energetic midfield which regenerates the ball across the board. Pirlo, on the other hand, has had the benefit of partners such as Gennaro Gattuso and Arturo Vidal alongside him to help share this responsibility.
TECHNICAL ATTRIBUTES (Marks out of 5)
XAVI   PIRLO
CREATIVITY
CROSSING
DRIBBLING
 LONG SHOTS
PASSING
SET PIECES/PENALTIES
SHOOTING
TECHNIQUE
WEAKER FOOT

Rarely will you see such numbers held by two players in the modern game when judging technical brilliance. In fact, they are virtually neck and neck in this department, both scoring full marks for creativity, passing and technique, with Pirlo also getting a full-house in terms of his dribbling ability. Apart from the weaker foot, for which both are rated three stars, the only other attribute in which either scores below four is the set-pieces and penalty taking of Xavi.
http://u.goal.com/135700/135791.jpg
       PHYSICAL ATTRIBUTES (Marks out of 5)
XAVI   PIRLO
FORM
HEADING
NATURAL FITNESS
PACE
STRENGTH
     
84 / 100 OVERALL 83 / 100
hAll of those problems can be attributed to his young age, as it is common for young defenders to get too anxious and failing to read plays as well as they should. If he can mature enough to understand the subtleties of his position and don't get caught up in discussions with opponents that distract him from the game, he is talented enough to become a great defender.ttp://u.goal.com/135700/135791.jpg

Pirlo was the best player in Serie A this term, and has been in the best form since the 2006 World Cup. Xavi, on the other hand, tired towards the end of the campaign despite his best ever scoring season for Barca. Despite this, the Catalan beats the Italian physically due to his energetic pressing game, whereas Pirlo often chooses to conserve his energy.
Our ratings suggest that Xavi just about edges out Pirlo, but will that be enough to see Spain past Italy? One thing you can guarantee is a barnstorming clash between two true footballing greats. We may see them on the same pitch again before you know it, with a potential knockout clash still a possibility in Euro 2012. And with Juventus back in the Champions League, it could happen at club level next season too. But why take the chance? This one is unmissable.
Follow Moenkutty on