Monday, September 10, 2012

Waziri wa Ardhi na Makazi Profesa Anna Tibaijuka Ateuliwa Kuwa Balozi wa Heshima wa Anuani za Makazi Dunia


Mh. Balozi. Prof. Anna Tibaijuka akimkabidhi Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Mh. Prof. Makame Mbarawa anuani iliyo katika mfumo mpya wa anuani ya makazi kwa ajili ya wizara yake.Mfumo mpya wa Anuani za Makazi unaonyesha kanda, mkoa, wilaya, kata, mtaa na namba ya nyumba hivyo kurahisisha ufikishaji wa huduma za posta kwa wananchi.
 Balozi wa heshima wa Anuani za Makazi duniani Prof Anna Tibaijuka (MB) (Wa pili kushoto) akisoma anuani ya makazi ya jengo la Mawasiliano muda mfupi baada ya kuizindua. Kulia ni Prof. Makame Mbarawa Waziri wa Mawasiliano ,Sayansi na Teknolojia (MB) na Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa Mh. Benard Membe (MB) wakishuhudia uzinduzi huo. (Kulia) ni Prof John Nkoma Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano akitoa maelezo kuhusiana na mradi wa Anuani za makazi nchini Tanzania .
 Mh. Prof. Anna Kajimulo Tibaijuka Balozi wa Heshima wa Anuani za Makazi duniani muda mfupi baada ya kutambulishwa rasmi kwa vyombo vya habari nchini. Katika hafla hiyo Mh. Balozi, Prof . Anna Tibaijuka aliahidi kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha kuwa wakazi wote duniani wanapata anuani za makazi.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Benard Camilius Membe (MB) akitoa nasaha kwa balozi mteule wa kimataifa wa anuani za makazi (hayupo pichani) mara baada ya kutambulishwa rasmi kwa wananchi. Mh. Membe kwa niaba ya watanzania alimtakia heri Mh. Balozi. Prof. Anna Tibaijuka katika kazi yake hiyo na kumuhakikishia ushirikiano kutoka kwa watanzania.
 Mh. Balozi. Prof. Anna Tibaijuka (MB) akifanyiwa mahojiano na wanahabari walihudhuria kutambulishwa kwake (kushoto) ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mh. Makame Mbarawa akishuhudia. Mradi wa mfumo mpya wa anuani za makazi unasimamiwa na Wizara ya Mawasilisano, Sayansi na Teknolojia chini ya Sekretarieti ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Picha ya pamoja na Mh. Balozi wa kimataifa wa anuani za Makazi.

Tuesday, September 4, 2012

BOYS AND GIRLFRIENDS GUIDES

THE GIRLFRIEND GUIDE:

1)  If he pokes u *get closer*

2)  If he wants a guys night out * don't complain*

3)  If he doesn't text back *don't jump to conclusions*

4)  If he doesn't say anything *don't think he does not care*

5)   If he's ticklish *he's a keeper*

6)   If he lets u were his clothing he likes u in his stuff and he is Crazy about you

7)   If he stares at you he wants to kiss you

8)   When you see him walking [ sneak up & hug him on waist from behind ]

9)   When he grab's at your hands [ hold hes & play with her fingers]

10)  When a guy wants to meet your parents he likes U a lot and want to know u better
          Moenkutty

Boyfriend Guide :

1.   When she walks away from you mad [ follow her ]


2.  When she stares at your lips[ kiss her ]
3.  When she pushes you or hit's you [ grab her and don't let go ]
4.  When start's cursing at you [ kiss her and tell her you love her ]
5.  When she's quiet [ ask her whats wrong ]
6.  When she ignores you [ give her your attention ]
7.  When she pulls away [ pull her back ]
8.  When you see her at her worst [ tell her she's beautiful ]
9.  When you see her start crying [ just hold her & don't say a word ]
10. When you see her walking [ sneak up & hug her waist from behind ]
11.  When she's scared [protect her ]

12.  When she lay's her head on your shoulder [ Tilt her head up & kiss her ]
 
13.  When she steal's your favorite hat [ Let her keep it & sleep with it for a night]
14.  When she tease's you [ tease her back & make her laugh ]
15.  When she doesn't answer for a long time [ reassure her that everything is okay ]
16.  When she looks at you with doubt [ Back yourself up with the TRUTH]
17.  When she grab's at your hands [ hold hers & play with her fingers]
18.  When she bump's into you [ bump into her back & make her laugh ]
19.  When she tells you a secret [ keep it safe & untold ]
20.  When she looks at you in your eyes [ don't look away until she does ]
 
21.  WHEN SHE MISSES YOU [ SHES HURTING INSIDE]
22.  When you break her heart [ the pain NEVER really goes away ]
23.  When she says its over [ she STILL wants you to be hers ]

FIVE SECRETS OF A PERFECT RELATIONSHIP:


 1. It's important to have a woman who helps at home, cooks, cleans & has a job.

2. It's important to have a woman who can make you laugh.

3. It's important to have a woman you can trust & who would never lie.

4. It's important to have a woman who is good in bed & likes being with you.

5. It's absolutely fucking vital that these four women don't know each other......lmao

THE STRENGTH OF MAN...



The strength of a man isn't seen in the width of his shoulders.
It's seen in the width of his arms that circle you.

The strength of a man isn't in the deep tone of his voice.
It's in the gentle words he whispers.

The strength of a man isn't how many buddies he has.
It's how good a buddy he is with his kids.
...

The strength of a man isn't in how respected he is at work.
It's in how respected he is at home.

The strength of a man isn't in how hard he hits.
It's in how tender he touches.

The strength of a man isn't in the hair on his chest.
It's in his Heart...that lies within his chest.

The strength of a man isn't how many women he's loved.
It's in how he can be true to one woman.

The strength of a man isn't in the weight he can lift.
It's in the burdens he can carry.

REALITY OF FEAR:



You're not scared of the dark.
You're scared of what's in it.

You're not afraid of heights.
You're afraid of falling.

You're not afraid of the people around you.
You're just afraid of rejection.
...

You're not afraid to love.
You're just afraid of not being loved back.

You're not afraid to let go.
You're just afraid to accept the reality that he/she is gone.

You're not afraid to try again.
You're just afraid of getting hurt for the same reason.